Wapi wiz Classic bad killer. Bob We are crying for our nation and every state who die with that virus corona Coras: uku watu wana kufa kisaa Wengi tuna liya juu Ya aannnhhh Tuna shindwa ata ku sali tena Tuna shindwa enda makazini tena Coronaeee coronaaa Corona wewewe coronaaa Coronaeee coronaaa Corona wewewe coronaaa nani ka kuleta kwetu coronaaa Verse: ona gisi tunavo liya mwenyezi mungu ona gisi wanako wanavo umiyaa Akuna mtu ambaye ana weza kutu sayidiya Bali ni sisi kwa sisi njo tuna eza ji sahidiya Ona gisi watu wana kufa kama wanyama Iyi virus aichaguwi uwe baba ao mama Pande zote iki ku kuta ina ku meza Atujuwi docter gani ata kuja kuiweza Corus: uku watu wana kufa kisaa Wengi tuna liya juu Ya aannnhhh Tuna shindwa ata ku sali tena Tuna shindwa enda makazini tena Coronaeee coronaaa Corona wewewe coronaaa Coronaeee coronaaa Corona wewewe coronaaa nani ka kuleta kwetu coronaaa Verse: ona gisi wanangu mitaani wana teseka pande zote duniyani ndugu zetu wana weweseka Atuna cha ku fanya japo kuwa tuna teseka ni bora tufate mbinu anazo zisema rahisi wa inci Kunawa mikono everytime yeah Kuziba puwa kila time anh ha Kuepukana na ma kundi kundi zi sizo na zina weza ku fanya uka iaribu siku yako bro Anh anh anh! Coronaeeee coronaaa Corona weeeee coronaaaa Coronaaeeee coronaaaeee Coronaaaeee coronaaaeeé corona BOB NICE wakongomaniii tuna liyaa Wana africaaa tuna umiya Duniyanii koteeee tuna liyaaa Kisa iyi coronaaa Duniyani tuna teseka kisa iyi coronaa Anhh corona Ndugu yangu fata shurti kwa ajili yaku jilinda Anhh corona Tu ache upu uzi tusikufe kama nyamaaa ooouuuuwooo Wiz Classic : dont think so about ma talk za watu Zina eza kufanya ukafa mpaka ukafa kama vile nyama Fanya vile ambovyo wana tu ambiya pande zote duniyani tuna weza jisaidiya yooo Every country in world Let's fight together Na iyi corona ambayo ina eza tu beba ku zimu minaogopa bwana kui nyanyuwa ja jeneza za watu ambawo wame kufa na corona Corus: uku watu wana kufa kisaa Wengi tuna liya juu Ya aannnhhh Tuna shindwa ata ku sali tena Tuna shindwa enda makazini tena Coronaeee coronaaa Corona wewewe coronaaa Coronaeee coronaaa Corona wewewe coronaaa nani ka kuleta kwetu coronaaa
Class one